KILICHOTUKOSESHA YULE SWALA NI HIKI HAPA...~Jyb






Siku moja tulikuwa tunawinda mimi na rafiki yangu Alex.Wakati tuko tunawinda na mbwa wa jirani maarufu kwa jina la chui ,mbwa alimkurupua swala akiwa amejilaza mahali .Swala alikimbia mbio  na mbwa wetu akakimbia sana akiwa anamkimbiza Swala huyo .Sisi tukawa nyuma tukijua tulikuwa tumepata kitoweo siku hiyo maana mbwa alikuwa anakaribia kumkamata yule Swala .

Wakati mbwa akiwa anakimbizana na swala tulikutana na mto mkubwa ,Swala akaruka mto na mbwa akaruka lakini sisi tukashindwa kuruka .Mbwa alivyoona hatumfuatilii ukawa mwisho akarudi tukawa tumemkosa swala kwa kuwa tulikosa DARAJA la kuvukia ule mto.

Maisha yetu yanahitaji daraja ili tufike kule tunapotaka kufika .Bila kuwa na daraja hutaweza kuvuka ndugu mbio zako zitaishia kwenye kingo za mto .

Nakumbuka habari ya wana wa Israel waliokuwa wakitoka Misri kwenye nchi ya utumwa kwenda Kanani nchi ya Maziwa na asali waliyokuwa wameahidiwa walipokutana na Bahari ya Shamu hawakuendelea mpaka hapo njia mbdala ilipoletwa na Mungu mwenyewe.Mungu alifanyika kuwa daraja la Wana wa Israel.

Ndiyo,Hautatoka hapo ulipo kama hutapata daraja la kukuvusha kule unakotaka kwenda .Unahitaji sasa kujiunga na KUNDI LA WHATSSAP LA DARAJA LA MAISHA ujifunze daraja ambalo litakuvusha kwenda ng'ambo.

Ng'ambo yako ni ndoto ambayo unataka siku moja itimie ,ng'ambo yako ni yale maisha unayotaka kuishi kesho .Hautaweza kuyafikia kama hutapata daraja la kukupeleka kule unakotoka kufika .

Joas(Jyb) ameanzisha kundi mahususi kwa ajili yako ili akupe daraja litakalokuvusha kwenda ng'ambo na pia kwa kujiunga na kundi hili utajipatia nakala ya kitabu cha INUKA TOLEO LA PILI(Harcopy) kitakachotumwa kokote ulipo kuanzia tarehe 26.9.2017 siku ya kuzaliwa kwangu ikiwa ni zawadi nitakayokupa kwako.Mbali na hayo kila siku nakuwa natuma vitabu vya waandishi mbalimbali vifanyike daraja kwako.

Kujiunga na kundi hili unapaswa kulipa kiasi cha shillingi elfu kumi kwa namba zangu hizi

1.0656110906(Tigo Pesa) Joas
2.0753836463(Mpesa) Jina Joas

Kwa kulipa kiingilio hicho utakuwa umekata tiketi ya kujiunga na kundi hilo la kudumu la DALAJA LA MAISHA .Zipo nafasi mia moja tu na mwisho wa kufanya malipo ni tarehe 15.8.2017 baada ya hapo haitapokelewa hela yoyote.

Watu wengi wameonesha mwitikio mkubwa kujiunga na kundi hili ambalo litaleta mageuzi makubwa na kutengeneza waty wenye uwezo wa kutenda.


Acha kufikiria ukubwa au udogo wa elfu kumi angalia matokeo makubwa yatakayoletwa na elfu Kumi kama utajiunga na Kundi la DARAJA LA MAISHA


Joas 0656110906/0753836463


"TUJIUNGE NA DARAJA LA MAISHA TUINUKE WOTE"