Magonjwa yaliyopuuzwa(Neglected Tropical Diseases) haya ni magonjwa
ambayo madhara yake hayaonekani sana au watu wachache ndo huyapata hivyo
kuonekana kama sio tatizo .Magonjwa hayo huathiri maisha ya watu wengi na
wengine kupoteza maisha .
Mfano Wa magonjwa hayo ni kama kichocho,
matende, mabusha, trakoma, ugonjwa Wa kulala lala, upofu, dengu,chikungunya(
huu wamakonde wanaujua sana) n.k.Naanza na Minyoo
Minyoo ipo ya aina mbali mbali,kama
ascaris na hookworm!! Ipo ardhini na huishi kwa muda mrefu sana,wstu hupata kwa
kula udongo,mboga za majani,kula kinyesi n.k.
Watu huishi nayo wengine bila shida
yoyote,ila wanaweza kupata usumbufu kama kuwasha makalio,anus,tumbo kujaa
sana,kula sana Ila wakati mwingi minyoo
huziba utumbo na kusababisha madhara makubwa na operation hufanyika kuondoa
hiyo minyoo. Wengine hutoka puani au kwenye choo.
Wamama wajawazito wengi hukutwa nayo
kipindi wanafanya cliniki,na hupewa dawa kama tiba au kinga, wengine hupata
maybe kukitokea chanjo za kitaifa za magonjwa haya Ni vizur kuchukua walau Mara
mbili kwa mwaka.
Ugonjwa mwingine unsitwa RIVER BLINDNESS
usababisha upofu na magonjwa ya ngozi, hasa kwa watu wanaoishi jirani na mito
inayokwenda kasi!! Kyela na tukuyu ni moja ya maendo yenye ugonjwa huu sana!!
Nigeria ugonjwa huu uliamisha kijiji baada ya wakazi wengi kupsta upofu hadi
pale walipofanya fumigation kuua mbuu waliokuwa wanaenez ugonjwa huu.
Ugonjwa mwingine ni dengue na
chikungunya.Haya yapo kundi moja na Ebola Sema kuua ni Mara chache, chikungunya
uligundulika Tanzania na ni jina LA kimskonde, kujikunja sababu ya maumivu.
Ugonjwa mwingine ni mabusha na matende .Waweza
pata minyoo ya magonjwa haya na ukaishi nayo miaka kibao bila kuugua,ila
yanatibika kirahisi sana na kupona kma yatagundulika mapema.
Ugonjwa Wa kichocho, unathiri mfumo Wa
chskula na mkojo, usipotibiwa unaharifu figo,maini na kuleta Kansa ya kibofu
cha mkojo.
Trachoma unaambukizwa na nzi na tanzania
upo sana Dodoma,usababisha upofu ingawa kinga kubwa ni usafi Wa macho na ukiwa
Tiba unatibika na kupona
Ugonjwa mwingine ni ukoma,huu unaathiri
ngozi,mishipa ya fahamu na viungo, ukigundulika mapema unatibika bila kuharibu
viungo,ila ukichelewa unaaharibu viungo,ngozi na mishipa ya fahamu sanaaa
African sleeping sickness kwa kiswahili
sijui wanahuitaje,dalili zake ni kama za
malaria sema kingine ni kulalalala sana na huu unaua,Ndorobo ndo wanaoeneza,kwa
hiyo wanaoishi karibu na hifadhi za wanyama wapo hatarini kuupata.
Shirika LA afya duniani (WHO) limepanga
kuyatokomeza kabisa magonjwa haya kwa kinga na chanjo!!Zinapotolewa wengine
hawatumii wakiamini zinaua mbegu za kiume au kufanya uume usisime .
Kwa wale wanaoishi karibu na mito
epukeni kushinda mitoni jioni na kuepuka mbu wanaouma maeneo ya mitoni.
Wale
wanaoishi pwani ns ukanda wote chanjo za matende,mabusha na kichocho sio za
kukosa.